Katika kitu sipendi kwenye computer ni mlango wa cd na ndo maaba napenda laptop ambazo ni slimTozo effect kwenye bando zimesababisha turudi kuleee, Ila kipindi kile tulikua tunatembea na koba la CDs zenye scratch balaaa.
Utakuwa una matatizo na milango, usikute unapitaga dirishani hata kwenye mambo yetu!Katika kitu sipendi kwenye computer ni mlango wa cd na ndo maaba napenda laptop ambazo ni slim
Haaa CD zinachubuka chubuka tu mwendo wa external au flash. CD una install software inafika sehem mara igote.Utakuwa una matatizo na milango, usikute unapitaga dirishani hata kwenye mambo yetu!
Nimepata MacOS ya High Sierra kwenye mtandao. Imekaa sawa.Ngoja waje kukupa muongozo...
Ingia piratebay utapata hizo software zote ilimradi uwe makini kusoma kama ni ya windows au macduuu... there are no takers....
kwa hiyo kumbe nikizianjia hizi software one by one nikazipata naweza kujitengenezea fursa ya kupiga hela kirahisi kuzidi hii issue yangu ya bodaboda.... ngoja niende kazini....
asante mkuuIngia piratebay utapata hizo software zote ilimradi uwe makini kusoma kama ni ya windows au mac
Magnetic link ya final cut pro na hii nimeitoa huko.
Final Cut Pro 19.1.6 MAS [TNT] 2021 - The Pirate Bay
Software za piratebay zinakuja na crack au zinakuwa cracked tayariasante mkuu
nilikuwa najaribu kuepuka hustle ya kutafuta hizi software moja moja na kusubiri siku nzima zidownload (torrents download can take days!) na pia ku dili na vifurushi vya kuunga unga vya voda... nikadhani naweza kununua kwa mtu package nzima or at least some of them...
na hizo pirate bay zenyewe unaweza ukashusha kitu siku nzima halafu uki instal kinadai serial, au kina bonge la watermark!
yani ukitaka software moja inabidi u download kutoka sources kama tano sita hivi halafu u hope kwamba moja itakubali.... massive headache.... kama naweza kulipa mtu mjini akaniwekea ki package cha software tano kumi it's worth the money... it's what I thought