Software itakayoweza kusaidia wajasiliamali wenye taasisisi za kukopesha

Software itakayoweza kusaidia wajasiliamali wenye taasisisi za kukopesha

Joined
Jul 25, 2018
Posts
6
Reaction score
9
Habar Wana JF,
Mimi ni IT expert, Nimetengeneza Program inaitwa MKOPO APP maalum Kwa wajasiliamali wenye taaisis za kukopesha

Mkopo App hii ni Program ambayo inarahisisha kaz mbalimbali zinazofanywa na taaisis ndogondogo za utoaji mkopo.
Program hii itakuwezesha kutunza taarifa za wanachama na kutunza taarifa za fedha na michango yote ya kila siku pamoja na mikopo na marejesho
Ukiwa na MKOPO APP itakuwezesha kusajili wanachama wapya (Wateja),kusajili mikopo mipya,kurecod marejesho,kutengeneza report na inaandaa mahesabu ya kiasi kilichopo kilichoingia na kiasi kilichotoka
Ili uweze kutumia program hii unatakiwa kuwa na kompyuta
Ahsanten
 
Habar Wana JF,
Mimi ni IT expert, Nimetengeneza Program inaitwa MKOPO APP maalum Kwa wajasiliamali wenye taaisis za kukopesha

Mkopo App hii ni Program ambayo inarahisisha kaz mbalimbali zinazofanywa na taaisis ndogondogo za utoaji mkopo.
Program hii itakuwezesha kutunza taarifa za wanachama na kutunza taarifa za fedha na michango yote ya kila siku pamoja na mikopo na marejesho
Ukiwa na MKOPO APP itakuwezesha kusajili wanachama wapya (Wateja),kusajili mikopo mipya,kurecod marejesho,kutengeneza report na inaandaa mahesabu ya kiasi kilichopo kilichoingia na kiasi kilichotoka
Ili uweze kutumia program hii unatakiwa kuwa na kompyuta
Ahsanten
Tunaweza kuipata tukatest???
 
Habar Wana JF,
Mimi ni IT expert, Nimetengeneza Program inaitwa MKOPO APP maalum Kwa wajasiliamali wenye taaisis za kukopesha

Mkopo App hii ni Program ambayo inarahisisha kaz mbalimbali zinazofanywa na taaisis ndogondogo za utoaji mkopo.
Program hii itakuwezesha kutunza taarifa za wanachama na kutunza taarifa za fedha na michango yote ya kila siku pamoja na mikopo na marejesho
Ukiwa na MKOPO APP itakuwezesha kusajili wanachama wapya (Wateja),kusajili mikopo mipya,kurecod marejesho,kutengeneza report na inaandaa mahesabu ya kiasi kilichopo kilichoingia na kiasi kilichotoka
Ili uweze kutumia program hii unatakiwa kuwa na kompyuta
Ahsanten
Gharama yake ni ngapi mkuu?
 
Habar Wana JF,
Mimi ni IT expert, Nimetengeneza Program inaitwa MKOPO APP maalum Kwa wajasiliamali wenye taaisis za kukopesha

Mkopo App hii ni Program ambayo inarahisisha kaz mbalimbali zinazofanywa na taaisis ndogondogo za utoaji mkopo.
Program hii itakuwezesha kutunza taarifa za wanachama na kutunza taarifa za fedha na michango yote ya kila siku pamoja na mikopo na marejesho
Ukiwa na MKOPO APP itakuwezesha kusajili wanachama wapya (Wateja),kusajili mikopo mipya,kurecod marejesho,kutengeneza report na inaandaa mahesabu ya kiasi kilichopo kilichoingia na kiasi kilichotoka
Ili uweze kutumia program hii unatakiwa kuwa na kompyuta
Ahsanten
Nimekupm mkuu
 
Nimekupm naona kimya leo ni siku ya tano, nimekuomba namba au njia ya wewe kuwasiliana kimya?
Tukuelewe vipi mkuu? Tuwasiliane tufanye biashara
 
Back
Top Bottom