Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,659
Ni zaidi ya miaka kumi sasa imepita tangu nishuhudie hii kitu kwa macho na masikio yangu mwenyewe. Rafiki yangu wa karibu sana alitokea kuwa na mapenzi makubwa sana kwa binti fulani, alimpenda sana kiasi kwamba kitaa ilikuwa inaonekana kama jamaa kachanganyikiwa fulani hivi.
siku ya siku ilikuwa na sikukuu kati ya Pasaka au Chrismas Jamaa akanipa Gift. "CHABO", Nikakubali, so mida ilipowadia kijana nikaning'inia dirishani.
Toba!! Nilichokiona nilibaki mdomo wazi.
Nilipofika dirishani nilikuta tayari wamekaa kitandani, na jamaa akampelekea binti mkono mapajani, yule binti akautoa, jamaa akaupeleka mgongoni, binti akautoa tena, jamaa ikabidi amsogelee karibu zaidi binti akamsukuma na kumuambia SOGEA UKO.
Baada ya hapo, jamaa akiwa amekwishavaa sura ya unyonge akamsogelea na kumnong'oneza maneno ambayo sikuyakia vizuri, ghafla yule binti akamtandika jamaa kofi la usoni pwaaa, lingine paaa. Pale dirishani nikabaki nimepigwa bumbuwazi nikiwa najiuliza inamaana nimechelewa kufika dirishani hawa watu kuna kitu waliishakosana humu ndani au nini?
Binti akaanza kurap sasa
Nyie wanaume mkiachiwa mnakuwa na mazoea mabaya sasa nyie, tena kama wewe ni mshenzi sana wewe hemu lione sura, duu!! Jamaa kama mjinga vile akapiga magoti chini na kunyenyekea kwa binti, binti akamuuliza unataka nini? Jamaa kimya! unataka nini? "kwa sauti zaidi kidogo" Jamaa akamsogelea kidogo kwa kuburuza magoti, akala tena kofi pwaaa. Nikashindwa kuvumilia nikaondoka dirishani.
Baada ya kama dakika kumi na tano, nikarudi site, ohooo, nikakuta Jamaa anapiga kazi tena ya ukweli, sababu alikuwa amemkunja yule binti kiasi kwamba sikuweza kumtambua ndani ya sikunde chache za mwanzo, Panda, shuka,Panda,shuka mpaka akalegea wakakumbatiana na kusinzia.
Kwa kifupi zaidi, baada ya apo walitoka nje ni nikakutana nao sehemu tuliyokubalina the three of us tukaenda zetu sehemu kula bata, wakiwa happy kabisa na hakuna indication yoyote ile ya biff wala ugomvi. Jamaa aliponiuliza kama nilitokea dirishani nikasema sikwenda niliogoga watu kustukia, akaniambia nimepochezea ofa anipi tena. Yeye alikuwa anadai alinipa offa ili nione ambavyo huwa anawashughulikia mabinti.
Tatizo: Inawezekana kwamba wanaume wengi zaidi huwa wanafanyiwa unyanyasaji na mateso makubwa sana huko mavyumbani lakini hawasemi au hii ni exceptional??
siku ya siku ilikuwa na sikukuu kati ya Pasaka au Chrismas Jamaa akanipa Gift. "CHABO", Nikakubali, so mida ilipowadia kijana nikaning'inia dirishani.
Toba!! Nilichokiona nilibaki mdomo wazi.
Nilipofika dirishani nilikuta tayari wamekaa kitandani, na jamaa akampelekea binti mkono mapajani, yule binti akautoa, jamaa akaupeleka mgongoni, binti akautoa tena, jamaa ikabidi amsogelee karibu zaidi binti akamsukuma na kumuambia SOGEA UKO.
Baada ya hapo, jamaa akiwa amekwishavaa sura ya unyonge akamsogelea na kumnong'oneza maneno ambayo sikuyakia vizuri, ghafla yule binti akamtandika jamaa kofi la usoni pwaaa, lingine paaa. Pale dirishani nikabaki nimepigwa bumbuwazi nikiwa najiuliza inamaana nimechelewa kufika dirishani hawa watu kuna kitu waliishakosana humu ndani au nini?
Binti akaanza kurap sasa
Nyie wanaume mkiachiwa mnakuwa na mazoea mabaya sasa nyie, tena kama wewe ni mshenzi sana wewe hemu lione sura, duu!! Jamaa kama mjinga vile akapiga magoti chini na kunyenyekea kwa binti, binti akamuuliza unataka nini? Jamaa kimya! unataka nini? "kwa sauti zaidi kidogo" Jamaa akamsogelea kidogo kwa kuburuza magoti, akala tena kofi pwaaa. Nikashindwa kuvumilia nikaondoka dirishani.
Baada ya kama dakika kumi na tano, nikarudi site, ohooo, nikakuta Jamaa anapiga kazi tena ya ukweli, sababu alikuwa amemkunja yule binti kiasi kwamba sikuweza kumtambua ndani ya sikunde chache za mwanzo, Panda, shuka,Panda,shuka mpaka akalegea wakakumbatiana na kusinzia.
Kwa kifupi zaidi, baada ya apo walitoka nje ni nikakutana nao sehemu tuliyokubalina the three of us tukaenda zetu sehemu kula bata, wakiwa happy kabisa na hakuna indication yoyote ile ya biff wala ugomvi. Jamaa aliponiuliza kama nilitokea dirishani nikasema sikwenda niliogoga watu kustukia, akaniambia nimepochezea ofa anipi tena. Yeye alikuwa anadai alinipa offa ili nione ambavyo huwa anawashughulikia mabinti.
Tatizo: Inawezekana kwamba wanaume wengi zaidi huwa wanafanyiwa unyanyasaji na mateso makubwa sana huko mavyumbani lakini hawasemi au hii ni exceptional??