It's trueNeutral ground ni fikra tu mkuu lkn kikubwa ni kwamba uwanja utangazwe kabla hata ya kufika fainal. Kama timu ya nchi husika ikifika fainal ni faida kwa timu husika lkn kikubwa pale ule uwanja unakuwa chini ya shirikisho na siyo kilabu. Hata ikitokea neutral ground ni kwa mkapa. Then moja ya timu za tff zikafika final ule uwanja wakushughulika nao kwa kila kitu ni caf na siyo tff club.
I stand to be corrected
Sasa mkuu unabisha nini na unakubali nini?... Morocco ndio wametengwa na AU na sio kwamba wamejitenga wao..Sio iliyotengwa bali wao ndo wamejitenga na Afrika
Hoja nzuri Sana hii! SafiNiwakati sasa shirikisho caf kufumua kanuni zake. Kanuni hizi ndizo zilizotengeneza matabaka ya timu za magharibi kujimilikisha mashindano haya kwa ngazi ya club.
nitataja baadhi ya mapungufu.
1 timu shiriki kuanza hatua ya mchujo. Hii sijui wameitoa wapi ni uchochoro wa timu za kiarabu kufanya figisu wanapo kuwa kwenye hatua hii.
inatakiwa timu zianze hatua ya ligi kama uefa champions legue. Alafu timu itakayo kusanya point nyingi ndio ziende kwenye hatua ya 16 bora.
maana timu ikijua ina cheza mfumo wa ligi watagangamara kupigania point na ndio utakua mwisho wa utawala wa waarabu.
Not true!Sisi ni nyani, full stop