Soka la Afrika na udanganyifu wa umri

Soka la Afrika na udanganyifu wa umri

Nasikia eti Emanuel Okwi ana miaka 24! Pia wajumbe kumbukeni hata sisi imewahi tukumba ndhani mwaka 2005 au 2006 hivi pale Nurdin Bakari alipodanganya ana miaka under 17 wakati mwaka 2003 huyo huyo nurdin akichezea simba klab bingwa alikuwa na miaka 21. Tukaondolewa kwenye mashindano na kufungiwa miaka miwili na faini juu
 
Back
Top Bottom