demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Leo golikipa amewekewa mgongo...... Mwamuzi kapeta.
Watu wakafunga.
Je hii ni mbeleko? au ni masuala ya M-Pesa?
Hapana!! hii ni mbeleko. Sipati picha kama Agyei angechezewa vile kungetokea nini!
Labda mitandao ingewaka moto muda kama huu wakisikika wakisema mechi zao dhidi ya JKT Ruvu ziwe zinachezeshwa na mwamuzi wa kigeni.!!
Au labda Manji angetupiwa lawama kwanini anawaonga waamuzi kwa kuwa yeye ni mtu pekee aonekanaye mwenye pesa nyingi Tanzania!
Au Upande fulani ungekuwa unalaumiwa kwa kuharibu soka la Bongo kwa kuwa wao wana wahadaa timu ndogo ili ziweke ngumu dhidi yao.!!
Au pengine viongozi wao wangekuwa wanaandika barua iwafikie TFF ili mwamuzi aadhibiwe.!!
Na huenda pengine watani zao wangeshinda bao la Aina hii yangesemwa mengi sana mtaani.. [emoji23]
Ila kwa kuwa upande wao ndio umehusika kufanyiwa mbeleko za aina hii.... na wanajua kuwa ni Mbeleko basi wameamua kukaa kimya sana... wakionekana kushangilia ushindi kimoyo moyo tu.
Anyway!!! Pongezi ziwafikie.... Bado mitanange takribani 14 ya LigiKuu Tanzania bara. Kama hujamalizana na Azam FC na Yanga SC hapa Dar..... usijihesabie haki ya Ubingwa.
"Maana njia pekee ya kufanikisha kusimamisha Gharika ni 'kubadilisha bonde kuwa tambalale' Bye! ".. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu wakafunga.
Je hii ni mbeleko? au ni masuala ya M-Pesa?
Hapana!! hii ni mbeleko. Sipati picha kama Agyei angechezewa vile kungetokea nini!
Labda mitandao ingewaka moto muda kama huu wakisikika wakisema mechi zao dhidi ya JKT Ruvu ziwe zinachezeshwa na mwamuzi wa kigeni.!!
Au labda Manji angetupiwa lawama kwanini anawaonga waamuzi kwa kuwa yeye ni mtu pekee aonekanaye mwenye pesa nyingi Tanzania!
Au Upande fulani ungekuwa unalaumiwa kwa kuharibu soka la Bongo kwa kuwa wao wana wahadaa timu ndogo ili ziweke ngumu dhidi yao.!!
Au pengine viongozi wao wangekuwa wanaandika barua iwafikie TFF ili mwamuzi aadhibiwe.!!
Na huenda pengine watani zao wangeshinda bao la Aina hii yangesemwa mengi sana mtaani.. [emoji23]
Ila kwa kuwa upande wao ndio umehusika kufanyiwa mbeleko za aina hii.... na wanajua kuwa ni Mbeleko basi wameamua kukaa kimya sana... wakionekana kushangilia ushindi kimoyo moyo tu.
Anyway!!! Pongezi ziwafikie.... Bado mitanange takribani 14 ya LigiKuu Tanzania bara. Kama hujamalizana na Azam FC na Yanga SC hapa Dar..... usijihesabie haki ya Ubingwa.
"Maana njia pekee ya kufanikisha kusimamisha Gharika ni 'kubadilisha bonde kuwa tambalale' Bye! ".. [emoji23] [emoji23] [emoji23]