Soka la Bongo ni kama Mazingaombwe tu

baba aura

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2023
Posts
254
Reaction score
393
Hakika wale kwenye upeo na wasio na wale wachache wanaweza nielewa kuwa mpira bongo ni kama mazingsombwe tu kwa sababu;

1. Uongozi wa juu ni mashibiki kindakindaki hasa kwa timu ya yanga na simba.

2. Upangaji ratiba umekuwa wa hovyo haizingatii michuuano mikubwa.

3. Marefa wengi wao wana tamaa ya pesa.

Ongeza lako
 
ratiba ina wabana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo sasa umeshiba ugali na nguruka umekuja kutuchosha hapa
 
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.

Mithali 26:4
 
Uto utamjua tu!!
 
Kale ka mwiko ka ihefu kamekunasia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…