Soka la Bongo ni kama Mazingaombwe tu

Soka la Bongo ni kama Mazingaombwe tu

baba aura

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2023
Posts
254
Reaction score
393
Hakika wale kwenye upeo na wasio na wale wachache wanaweza nielewa kuwa mpira bongo ni kama mazingsombwe tu kwa sababu;

1. Uongozi wa juu ni mashibiki kindakindaki hasa kwa timu ya yanga na simba.

2. Upangaji ratiba umekuwa wa hovyo haizingatii michuuano mikubwa.

3. Marefa wengi wao wana tamaa ya pesa.

Ongeza lako
 
F1F2774C-1F9A-49BA-AFCF-9F2BD1E1936B.jpeg
 
ratiba ina wabana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo sasa umeshiba ugali na nguruka umekuja kutuchosha hapa
 
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.

Mithali 26:4
 
Hakika wale kwenye upeo na wasio na wale wachache wanaweza nielewa kuwa mpira bongo ni kama mazingsombwe tu kwa sababu;

1. Uongozi wa juu ni mashibiki kindakindaki hasa kwa timu ya yanga na simba.

2. Upangaji ratiba umekuwa wa hovyo haizingatii michuuano mikubwa.

3. Marefa wengi wao wana tamaa ya pesa.

Ongeza lako
Uto utamjua tu!!
 
Hakika wale kwenye upeo na wasio na wale wachache wanaweza nielewa kuwa mpira bongo ni kama mazingsombwe tu kwa sababu;

1. Uongozi wa juu ni mashibiki kindakindaki hasa kwa timu ya yanga na simba.

2. Upangaji ratiba umekuwa wa hovyo haizingatii michuuano mikubwa.

3. Marefa wengi wao wana tamaa ya pesa.

Ongeza lako
Kale ka mwiko ka ihefu kamekunasia
 
Back
Top Bottom