Mwl Philemon
Member
- Nov 29, 2018
- 63
- 70
Kocha mmoja kufundisha timu mbili ligi moja kwa wakati mmoja kivyetuvyetu.
Timu kukosa golikipa na kumtumia mchezaji wa ndani kama kipa kivyetuvyetu.
Kosa moja kutendwa na watu wawili wanaosimamia na mtu mmoja mwingine akaadhibiwa na mwingine kuachwa kivyetuvyetu.
Halafu anakuja mtu mmoja anakuja na kauli ya Waziri fa
Timu kukosa golikipa na kumtumia mchezaji wa ndani kama kipa kivyetuvyetu.
Kosa moja kutendwa na watu wawili wanaosimamia na mtu mmoja mwingine akaadhibiwa na mwingine kuachwa kivyetuvyetu.
Halafu anakuja mtu mmoja anakuja na kauli ya Waziri fa