OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mpira ni starehe, mpira ni ubishani, mpira ni ushabiki. Wewe na hisia zako za kidingi baki nyumbani au tafuta mchezo mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akikisha starehe yako isimkele mwenzio tuView attachment 2377044
Mpira ni starehe,mpira ni ubishani,upira ni ushabiki. Wewe na hisia zako za kidingi baki nyumbani au tafuta mchezo mwingine
Wale vimburu watapigika mpaka basiKwani inaongelea nini hiyo clip!
Maana sisi wengine tunasubiri Oktoba 23 ifike. Wananchi tuna jambo letu siku hiyo.
Jumamosi mwarabu anakumanueni hadi mrushe mimaji dadekiWale vimburu watapigika mpaka basi
Boya mwenyewe shoga weweWe boya badala uwaze Simba tumfunge utopolo we unahamisha mada Kwa waarabu, waarabu ni bwana zako
Mwarabu anapigwa kama ngoma jumamosi🥁🥁🥁Kwani inaongelea nini hiyo clip!
Maana sisi wengine tunasubiri tu Oktoba 23 ifike. Wananchi tuna jambo letu siku hiyo.
We boya badala uwaze Simba tumfunge utopolo we unahamisha mada Kwa waarabu, waarabu ni bwana zako
🤗Boya mwenyewe shoga wewe
Hapa bongo Yanga imeshindikana mmehamishia matumaini kwa mabaunsa wa kukodi nao watakalishwa sijui mtakimbilia wapiJumamosi mwarabu anakumanueni hadi mrushe mimaji dadeki
Kwa lile gari lako la mkaa,ukitoka Angola niite Barbara GonzalezJumamosi mwarabu anakumanueni hadi mrushe mimaji dadeki
Mtamanuliwa tu hakuna jinsi nyingineHapa bongo Yanga imeshindikana mmehamishia matumaini kwa mabaunsa wa kukodi nao watakalishwa sijui mtakimbilia wapi
Nitakuita My dear wifeKwa lile gari lako la mkaa,ukitoka Angola niite Barbara Gonzalez
Lazima upigwe tatu Kama konyagiNitakuita My dear wife
Huyu mme wenu tukipiga mtahamia wapi?Mtamanuliwa tu hakuna jinsi nyingine
October 23 General atachomeka miiko miwili nyuma
Aisee, sio Oktoba 8 tena?Maana sisi wengine tunasubiri tu Oktoba 23 ifike. Wananchi tuna jambo letu siku hiyo.
Hiyo Oktoba 8 kimahesabu, imeshapita kitambo tu! I hope you understand. Ok!!Aisee, sio Oktoba 8 tena?
Nyie ni wa kumanuliwa tuHuyu mme wenu tukipiga mtahamia wapi?