TFF! Hawakuelewi kabisa mkuu. Mfano ni timu za kubumba za vijana na wanawake, kama wangekuwa na uchungu wa maendeleo ya soka ya nchi yetu wangeandaa utaratibu muendelezo wa kupata wachezaji wa timu hizo. Sasa hivi Mkwasa anajuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.