Soka yupo wapi? Tuambieni kama mmemficha au mmemuua tujue moja

Soka yupo wapi? Tuambieni kama mmemficha au mmemuua tujue moja

Upo ulazima ifike kipindi mnaojifanya mnampenda mtu mjitoe maneno hayasaidii kwa Sasa taifa lilipp no lazima watu waamke uoga na kutoshirikiana haiwezi kuponya taifa hao ni watu wachche sana lakini mioyo ya watz ni ya kibinafsi andamaneni mkiwa wengi ikibidi mchome moto kituo na polisi waliopota huu ujinga kila sikunapiga kelele free someone free some kwenye mitandao hii Tanzania lazima ibadilike kwa watu kadhaa kujitoamuhanga otherwise mnajidanganyanru.
Kulikuwa hakuna ulazima wa kutoa lugha chafu.
 
Upo ulazima ifike kipindi mnaojifanya mnampenda mtu mjitoe maneno hayasaidii kwa Sasa taifa lilipp no lazima watu waamke uoga na kutoshirikiana haiwezi kuponya taifa hao ni watu wachche sana lakini mioyo ya watz ni ya kibinafsi andamaneni mkiwa wengi ikibidi mchome moto kituo na polisi waliopota huu ujinga kila sikunapiga kelele free someone free some kwenye mitandao hii Tanzania lazima ibadilike kwa watu kadhaa kujitoamuhanga otherwise mnajidanganyanru.
Wewe uhusiki ?
 
Deusdedith Soka
View attachment 3080803

Kijana wa watu mmemficha wapi au mmemuuwa hatujasahau ya kijana wa watu Ben Saanane mpaka leo hata shati lake halionekani achana na mwili.

Tuambieni tujue mtoto huyu mmemuua au?
IMG-20240831-WA0003.jpg
 
Familia yake imempoteza
Ndio imempoteza lakini kwanini mnaongea tu siasa kwanini msioganaizi watu na nyinyi mfanye harakati za Siri kama mmefahamu mtekaji mkuu mtekeni na yeye kimyakimya hii hapa inawezekana kisha mnaweza kujua chain ya utekaji inapoanzia sio kwa hisia Sasa hivi Tanzania ilipofikia sio sehemu ya kudai haki kwa katiba au Sheria sababu wahusika na wasimamizi wa haki ndio wanaohisiwa kuhusika kwanini msifanye harakati za Siri kuwasaka watekaji na wauaji ilihali wamefahamika walau mkiwanyoosha nao watatambua kuwa wanafanya sio sawa mbona wezi mnawachoma moto Sasa mafwele si ndio mnahiisi ni mkuu kamateni kwa Siri nyosheni .


Jino kwa jino
 
Kijana wa watu yupo mafichoni mpaka leo inasikitisha haya kutokea katika taifa letu.
 
Mbowe sahivi yuko na familia yake na wanapata usingizi
 
Unapaswa kwenda kuuliza kituo cha police jirani na unapoishi no haki yako ,humu ndani ya jf mtu hawezi kupotea
Deusdedith Soka
View attachment 3080803

Kijana wa watu mmemficha wapi au mmemuuwa hatujasahau ya kijana wa watu Ben Saanane mpaka leo hata shati lake halionekani achana na mwili.

Tuambieni tujue mtoto huyu mmemuua au?
 
Watekaji nao wamekuwa kama wale jamaa wa "ile hela tuna kwenye namba hii ..".
Au ripoti ya utekaji imetekwa na mtekaji?
Kama tupo Nigeria vile ....
 
Mmekaa kwenye keyboard mnangoja watu wawaambie huyu hapa soka mkamtibu...
No one can give u freedom because you're a being you have to take it...
 
Mmekaa kwenye keyboard mnangoja watu wawaambie huyu hapa soka mkamtibu...
No one can give u freedom because you're a being you have to take it...
 
Deusdedith Soka
View attachment 3080803

Kijana wa watu mmemficha wapi au mmemuuwa hatujasahau ya kijana wa watu Ben Saanane mpaka leo hata shati lake halionekani achana na mwili.

Tuambieni tujue mtoto huyu mmemuua au?
Mnawashawishi vijana kushabikia harakati za siasa, lakini nyie ndiyo wanufaika. Vijana wanaishia kupata vilema hadi kupoteza maisha huku nyinyi mkijipatia fedha na kuishi maisha ya anasa.
 
Mnawashawishi vijana kushabikia harakati za siasa, lakini nyie ndiyo wanufaika. Vijana wanaishia kupata vilema hadi kupoteza maisha huku nyinyi mkijipatia fedha na kuishi maisha ya anasa.
Damu ya mtu ni mbaya
 
IPO siku tutajua alipo, awe hair au la, uhai wa MTU ni zawadi ya Mungu sio fadhila za binadamu, Mungu atasaidia kutuonyesha alipo.
SOKA WE NEED YOU BACK!!
Kujua peke yake hakusaidii, inatakiwa wanaofadhili hayo matendo nao washughulikiwe kikatili wao na familia zao.
 
Back
Top Bottom