Rashid miraji ally
New Member
- Jul 16, 2022
- 1
- 2
Mfumo wa elimu nchini kwetu Tanzania umekuwa ukienda tofauti sana na soko letu la ajira hii inatokana na kauli mbiu ya kwamba alieshiba hamtambui kwenye njaa
Wito wangu na maoni yangu katika Serikali kwa mfano kwa mwaka inauwezo wa kustaafisha wafanyakazi 2000 kwa wakati huo huo wahitimu wanaohitaji kuajiriwa kwa mwaka huo wapo 100,000, hapo kuna gepu la watu 98,000 wanaosalia bila ajira hivyo ndani ya miaka mitano serikali inatengeneza watu wasio na ajira 490000 !!!
Ushauri wangu, Serikali inatakiwa iandae mpango mbadala wa kudhibiti hali hii mfano kutengeneza ajira za mikataba ya muda mfupi lengo na nia hapa ni kuhitaji kutengeneza maisha ya haki na usawa kwa wananchi wote pia kuepusha wimbi la watu wasio na ajira katika nchi.
Wito wangu na maoni yangu katika Serikali kwa mfano kwa mwaka inauwezo wa kustaafisha wafanyakazi 2000 kwa wakati huo huo wahitimu wanaohitaji kuajiriwa kwa mwaka huo wapo 100,000, hapo kuna gepu la watu 98,000 wanaosalia bila ajira hivyo ndani ya miaka mitano serikali inatengeneza watu wasio na ajira 490000 !!!
Ushauri wangu, Serikali inatakiwa iandae mpango mbadala wa kudhibiti hali hii mfano kutengeneza ajira za mikataba ya muda mfupi lengo na nia hapa ni kuhitaji kutengeneza maisha ya haki na usawa kwa wananchi wote pia kuepusha wimbi la watu wasio na ajira katika nchi.
Upvote
2