Say no to actors
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 637
- 641
Wadau Nina mtaji wangu hapa wa shilingi million mbili nataka nianze biashara ya dagaa ya jumla wa ziwa Victoria.
Dagaa wa kukaanga, waliokauka kwa jua na pia dagaa kwa ajili ya kutengenezea Chakula cha mifugo. Samahani kwa mdau yeyote anayeweza kuwa na uhitaji tuwasiliane kwa +255685232010.
Pia kama wadau mnaweza kunipatia taarifa za soko liliko au kumpatia mtu anayehitaji dagaa mawasiliano yangu. Nawategemea sana
Dagaa wa kukaanga, waliokauka kwa jua na pia dagaa kwa ajili ya kutengenezea Chakula cha mifugo. Samahani kwa mdau yeyote anayeweza kuwa na uhitaji tuwasiliane kwa +255685232010.
Pia kama wadau mnaweza kunipatia taarifa za soko liliko au kumpatia mtu anayehitaji dagaa mawasiliano yangu. Nawategemea sana