Hapa Mkuu tunatafuta tafsiri ya neno "Pasu" pengine umesahauKwa mahesabu ya kichekechea, hawana shilingi sawa, lakini kwa wabobezi wa hisabati na takwimu za kiuchumi huwa wana uwezo wa kuona na kudadavua nambari kwa kutumia akili za kujiongeza. Sasa inategemea na mwisho wa uwezo wako kifikra...hehehehe
Cha msingi ni infrastructure/miundo mbinu na kwa Sasa Kenya iko sawa sio mambo na route ama distance. Mjaribu kuikwamua SGR yenu from Kibaha angalau mfikishe Morogoro (200km). SGR Kenya ni km600 na tayari inafanya Kazi so tayari tumefupisha umbali kwa mkongomani.Hiyo route ya Msa to DRC direct mnapita wapi na wapi ambapo SGR ya Tz haitaweza kupita? Sio lazima mizigo ishuke lake Tanganyika, remember kuna kipande cha Isaka Kigali...
Hivi pale kisumu yatch club ijumaa wale wazee walienda kugawana mgao wa Bajeti hewa wakiyoizidisha au? Maana jamaa kwa ku skip formality na protocols ili tu akutane na spesho mjumbe wa AU sio Mchezo. What's in the cooking?
Tz na DRC ni majirani ila Kenya na DRC sio majirani ila mizigo yao mingi inapitia Mombasa. Nilitegemea 100% ipitie Tz kwa kuwa border ni moja ila Infrastructure ya Tz ni poor.Hapa Mkuu tunatafuta tafsiri ya neno "Pasu" pengine umesahau
Maneno ya wanasiasa wasikutie tumbo joto...je wafanyibiashara wataweza...au uzalishaji wenu wa bidhaa ni kiasi ganiHamtafanya lolote Tanzania na Kongo biashara yake itakuwa kubwa sana, SGR ikikamilika.
Refer mazungumzo ya Rais Magufuri na Felix pale magogoni
Hiyo route ya ndola to kasumbelesa ni ndefu Sana chief,
Route ipo ndio, ila ni ndefu sana na ina challenge ya security...hasa hicho kipande cha kutoka kasumbelesa hadi Lubumbashi.Last december nilitembelea nilivyokuwa likizo, niliona mabasi na malori mengi sana yakitoka Dar - Lubumbashi.
Nikajua unasema SGR yenu imefika Congo..hahaha kwani ni wapi bongo infrastructure sio nzuri? Barabara za lami zipo hadi Congo direct, kuna reli ya kati hadi kigoma port.Cha msingi ni infrastructure/miundo mbinu na kwa Sasa Kenya iko sawa sio mambo na route ama distance. Mjaribu kuikwamua SGR yenu from Kibaha angalau mfikishe Morogoro (200km). SGR Kenya ni km600 na tayari inafanya Kazi so tayari tumefupisha umbali kwa mkongomani.
Takwimu zipi mmeizidi Tanzania kwenye mzigo wa DRC? Sio unatapika tu hapa mataputapu ya kwa mama nginyii bila mpango, leta facts.Tz na DRC ni majirani ila Kenya na DRC sio majirani ila mizigo yao mingi inapitia Mombasa. Nilitegemea 100% ipitie Tz kwa kuwa border ni moja ila Infrastructure ya Tz ni poor.
Hii ni kweli mizigo ilipita Mombasa ila sio mingi Kama Unavyosema hapa. Na hilo limeshafanyiwa utatuzi na rais wa Congo alienda bandarini pale na kuona mashine mpya za kuongeza uwezo wa kupakua mizigo. Two times ya uwezo wa sasa. Hivyo kaeni mkao wa kutoa chozi.Tz na DRC ni majirani ila Kenya na DRC sio majirani ila mizigo yao mingi inapitia Mombasa. Nilitegemea 100% ipitie Tz kwa kuwa border ni moja ila Infrastructure ya Tz ni poor.
Tz na DRC ni majirani ila Kenya na DRC sio majirani ila mizigo yao mingi inapitia Mombasa. Nilitegemea 100% ipitie Tz kwa kuwa border ni moja ila Infrastructure ya Tz ni poor.
Acha kuwaza bila kuwa realistic, Tz. haitegemei ziwa tu kuingia Kongo tuna mpaka wa kuingilia Zambia na ndio maarufu na upo wa kupitia Burundi na wa Rwanda.Watanzania kitu hawajatwambia ni kuwa they don't share a dry land border with DRC bali ni ziwa ambapo inabidi mizigo kushukishwa jutoka kwa malori na kupakiwa Tena kwa meli alafu Tena kushukishwa upande ule mwingine na Tena kupakiwa Tena kwa malori ili kusafirisha sehemu mbali mbali DRC( yani ni double work) ukizingatia poor infrastructure ya happy ziwa Tanganyika.
Sasa linganisha mzigo uliopakiwa pale Mombasa kuelekea DRC. Mzigo utashuka pindi ufikapo final destination hamna cha kushukisha shukisha na kupakiwa pakia Bali ni express therefore fast and cheap.
Assuming SGR Tz itafika Lake Tanganyika, tayari costs zitapanda kwa kuwa mizigo hiyo itabidi kushukishwa ili kupakiwa kwenye meli( Time =Money) afu Tena mizigo hiyo ikifika ng'ambo ile nyingine another cost ya kushukisha mizigo.
Mizigo ya DRC from Mombasa ikishapakiwa ni mwendo kasi bila delays Hadi DRC...mwenye macho haambiwi tazama na mwanabiashara mjanja atatumia Mombasa.
Miundombinu ya kuishambulia DRCCha msingi ni infrastructure/miundo mbinu na kwa Sasa Kenya iko sawa sio mambo na route ama distance. Mjaribu kuikwamua SGR yenu from Kibaha angalau mfikishe Morogoro (200km). SGR Kenya ni km600 na tayari inafanya Kazi so tayari tumefupisha umbali kwa mkongomani.
Tz imesafirisha mizigo worth $153million , Kenya $150 million na ujue Tz shares a 500km border with DRC. Unyinge wenu ni kutokubali mapungufu yenu, nakwqmbia Kama ni Kenya ingekuwa inashre mpaka na DRC na Rwanda 100% ya mizigo yao yote ingekuwa inapitia Kenya.Takwimu zipi mmeizidi Tanzania kwenye mzigo wa DRC? Sio unatapika tu hapa mataputapu ya kwa mama nginyii bila mpango, leta facts.
Kama infrastructure ni nzuri MBONA hata mizigo ya Rwanda inapitia Kenya? Mbona mizigo ya Kongo inapitia Kenya?Nikajua unasema SGR yenu imefika Congo..hahaha kwani ni wapi bongo infrastructure sio nzuri? Barabara za lami zipo hadi Congo direct, kuna reli ya kati hadi kigoma port.
Subiri kipande cha isaka Kigali kianze, Wewe baki na maneno ya kibaha. We won't fail as you guys.
Hizo ni preference baina ya mteja na mteja kuamua apitishe mzigo wake wapi. Sio kwamba wanapitishia Mombasa kisa ubovu wa miundombinu. Na ni kwamba automation bandari ya Dar ilikuwa chini kidogo. Ila saiv efficiency imeongezeka two times hivyo mjipangeTz imesafirisha mizigo worth $153million , Kenya $150 million na ujue Tz shares a 500km border with DRC. Unyinge wenu ni kutokubali mapungufu yenu, nakwqmbia Kama ni Kenya ingekuwa inashre mpaka na DRC na Rwanda 100% ya mizigo yao yote ingekuwa inapitia Kenya.
Kama infrastructure ni nzuri MBONA hata mizigo ya Rwanda inapitia Kenya? Mbona mizigo ya Kongo inapitia Kenya?
Relativity = UhusianifuHivi tafsiri ya neno 'relativity' kwa kiswahili nini, naomba msaada kwa yeyote. Kapige darasa nadharia ya relativity....
Tumedhamiria budaManeno ya wanasiasa wasikutie tumbo joto...je wafanyibiashara wataweza...au uzalishaji wenu wa bidhaa ni kiasi gani
Tanzania hatuna poor infrastructure ila tuna poor infrastructure in Kigoma region na huu ndio mkoa unaopakana na DRC kwa kiwango kikubwa.Tz na DRC ni majirani ila Kenya na DRC sio majirani ila mizigo yao mingi inapitia Mombasa. Nilitegemea 100% ipitie Tz kwa kuwa border ni moja ila Infrastructure ya Tz ni poor.