Hiyo takwimu ya hizo dollar ni kwa formal sector ambazo zipo regulated na mamlaka husika mipakani na kikodi, huku kusema mtaenda sambamba kwenye soko la DRC na Tanzania ni kujidanganya
Tanzania ndio inalisha Eastern Congo almost yote kuanzia mahindi, mchele na nafaka zote, nikija kwenye dagaa sasa ndio usiongee, pale mwaloni kirumba kuna semitrela zaidi ya 100 kwa giza zinapeleka dagaa DRC almost yote, hizi ni biashara za mabilioni ya shilling ambazo mara nyingi haziwi regulated na authorities kama za viwandani na bandarini
Ikumbukwe tu Tanzania ina njia zaidi ya 8 za kuingilia DRC, cheki hii