Kama una simu janja fuatilia bei ya mafuta duniani huko kwa wazalishaji, bei zimeshuka sana lakini Tanzania kila leo hadithi hazina kichwa wala miguu.
Kiuhalisia wameshindwa kudhibiti mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali na hapo bado tutarajie bei za ndani ya nchi kupanda zaidi na zaidi maana hawana pesa hivo ni kudandia vikodi vya hapa na pale bila ufanisi.
Waendelee kuupiga mwingi tena binafsi nawapongeza sana kwa kuupiga mwingi hadi unamwagikwa kabisa.
Kiuhalisia wameshindwa kudhibiti mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali na hapo bado tutarajie bei za ndani ya nchi kupanda zaidi na zaidi maana hawana pesa hivo ni kudandia vikodi vya hapa na pale bila ufanisi.
Waendelee kuupiga mwingi tena binafsi nawapongeza sana kwa kuupiga mwingi hadi unamwagikwa kabisa.