Inategemeana na hali ya hewa kwani ukiweka hizo zina joto sana labda maeneo yenye baridi kila wakati kama mikoa ya njombe, mbeya, moshi hivi wanaweza kuweka hizo zinafaaa kwao kwa hapa dar ni kuleteana karaha na joto lenyewe hili utadhani tuko kartun basi balaa bora kamvua haka kameleta ahueni