Soko la hisa la Urusi lazidi kushuka na kuvurugika huku vikwazo zaidi vikitazamiwa

Soko la hisa la Urusi lazidi kushuka na kuvurugika huku vikwazo zaidi vikitazamiwa

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
MARKET EXTRA
Russian stocks sunk to levels not seen since 2017 on Monday, weighed by a global market selloff, threats of more sanctions and signs of continued unrest after last week’s partial mobilization.

MSN
 
Jf ina mazuzu sana, kuna watu walikuwa wanashangilia ulaya ndio muathirika wa vikwazo walivyoweka kwa Russia na Russia vikwazo havimuathiri ila uchumi wake unakua zaidi.

Ajira zaidi ya laki mbili zimepigwa pini, soko la gas limepungua, kampuni zaidi ya elfu 2 zimefungwa n.k halafu uje useme uchumi haujayumba.

Ni vile westerns vyombo vya habar vipo huru kuripot kila kitu, Russia kungekuwa huru tungeona taarifa nyingi za kushuka kwa uchumi wao.
 
Jamaa unajijibu mwenyewe kwa id tofauti.

Ruto kununua mafuta Russia na wewe utanufaika
 
Jf ina mazuzu sana, kuna watu walikuwa wanashangilia ulaya ndio muathirika wa vikwazo walivyoweka kwa Russia na Russia vikwazo havimuathiri ila uchumi wake unakua zaidi.

Ajira zaidi ya laki mbili zimepigwa pini, soko la gas limepungua, kampuni zaidi ya elfu 2 zimefungwa n.k halafu uje useme uchumi haujayumba.

Ni vile westerns vyombo vya habar vipo huru kuripot kila kitu, Russia kungekuwa huru tungeona taarifa nyingi za kushuka kwa uchumi wao.
Asante mkuu kwa kuwaambia ukweli . Nadhani wanafikiria na matakore kuhusu uchumi wa Russia unakua hayanaga akili kabisa hizo ubongo zao zimejaa pupu kama sio matope , nchi Iko kwa vita na umewekewa vikwazo vya uchumi , huo uchumi utakuaje?
 
Asante mkuu kwa kuwaambia ukweli . Nadhani wanafikiria na matakore kuhusu uchumi wa Russia unakua hayanaga akili kabisa hizo ubongo zao zimejaa pupu kama sio matope , nchi Iko kwa vita na umewekewa vikwazo vya uchumi , huo uchumi utakuaje?
Tuwe wapole tu, joto linalofurukuta Russia sio dogo.
 
Wanasema ugomvi wowote we kaa kimyaa tuu.
Light Russia ange kaa kimya kama mwenzie Kiduku wala asingepitia kipindi hiki.
Sasa cheki asaivi kaonekana boya tuu ni vile tuu wana muheshin.
Lasivyo asaivi hata Takro anaweza shikwa tuu maana anaonekana mlaini tuu
 
Wanasema ugomvi wowote we kaa kimyaa tuu.
Light Russia ange kaa kimya kama mwenzie Kiduku wala asingepitia kipindi hiki.
Sasa cheki asaivi kaonekana boya tuu ni vile tuu wana muheshin.
Lasivyo asaivi hata Takro anaweza shikwa tuu maana anaonekana mlaini tuu
Alishaaminishwa yeye ni superpower kuliko US na washirika wake. Alishaaminishwa hakuna wa kumgusa, anaogopwa n.k

Sasa akajaa kiburi, apa ndipo alipofikia. Ni aibu nzito mno kwake.
 
Jamaa unajijibu mwenyewe kwa id tofauti.

Ruto kununua mafuta Russia na wewe utanufaika
Pro Russia mkizidiwa tu na hoja mnakimbilia hii comment utadhani mmekalilishwa kutoka Kremlin.
 
Back
Top Bottom