Soko la hisa laingiza Sh40,000

Dah! Hilo litaitwa genge la hisa? Poleni investors wote! Tufanye mengine, tusubiri dividend Bongo ni kukaribisha magonjwa kwa kiasi ya 5G.
 
Mmhh hata laki haijafika? Ila inaweza kuwa kweli maana wabongo si wanunuaj wa hisa hisa zenyewe uduanzi unawekeza kwenye kitu ambacho hakimove,
 
This might enter into the world Guinness book of records
 
Hapa umeweka vizuri sana... Mabeberu hayana akili kabisa... Yamehamisha pesa zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…