SOKO LA KARANGA

Kyambambembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2015
Posts
326
Reaction score
353
Waungwana nisaidie kujikwamua kiuchumi nitafuta soko la Karanga popote ndani na nje ya mipaka ya Tanzania mzigo upo wa kutosha no yangu 0674067474 karibuni
 
Poa mkuu ngoja nifanye hivyo
Ukipata nishtue na mimi.
Kwa mond siyo rahis. Ni kama amepunguza kuzalisha bidhaa zake au zimepotea kabisa. Ndo maana huwezi sikia anazipigia promo tena. Hata kitaa nadhani unaweza ukazitafuta sana usizipate.
Tafuta kwingine mkuu.
 
Waungwana nisaidie kujikwamua kiuchumi nitafuta soko la Karanga popote ndani na nje ya mipaka ya Tanzania mzigo upo wa kutosha no yangu 0674067474 karibuni
Soko lipo south africa na pakistan
 
Soko lipo south africa na pakistan
Ishu ipo kwenye faida mkuu

Kukodi Container ni dollar 4000 ambayo ni milioni tisa bado gharama za Magari ya kupeleka na kuchukua Bandarini halafu Containers zinachukua tani hazizidi 28 at the end unakuta gharama zilizoongezeka kwa kila kilo ni Sh 600@ kilo huo usafiri tu bado Tariffs,ushuru etc
 
Nani amekwambia kukodi container ni dola 4,000 labda kama unabebea mbao kutoka iringa kuja dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…