Soko la Karume limeungua moto

Haya Matukio yaendelee, yaongezeke, yazidi kuwa Mengi, yasiache kutokea, Hadi pale Watanzania Akili Zitakapo Funguka na Kudai Katiba Mpya Kwa Nguvu.

Kitu ambacho bado hatujakijua Watanzania Ni Kuwa, Viongozi Wetu wana DHARAU SANAA wananchi wake Hilo lipo wazi Kabisa Kabisa, tena Ni Dharau Iliyopitiliza. Haya matukio sio Mapya nchi kwetu lakini hakuna hata Siku 1 ilitoka Report Ya Tukio la Moto watu wakawajibishwa kwa namna Yoyote ile kama Sio Dharau ni Nini? Yaani Viongozi wetu wanaweza kujua Ugaidi wa Kutaka Kulipua Vituo Vya Mafuta Bila Vipulizi lakini wanashindwa kujua Chanjo za Moto na nani Muhusika?

Mpaka siku, Ikulu iwake moto, Bunge liwake moto.

Wale machinga wote walio lazimishwa kuhamia pale Wamepata Hasara tena hii January [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27] watoto wakiwa Wamefaulu kwa kishindo.
 
Sio kweli,Tatizo ni CCM na sisi Watanzania!
 
Good morning wapendwa. Kuna habari za kusikitisha za kuungua kwa soko la Karume Moto ambao umeanza SAA nane usiku.

Soko hili limeajiri vijana wajasiriamali wengi na ni kama chanzo Cha mapato Cha familia zao na watu wanaowategemea na Serikali pia kupitia Aina ya bidhaa zinazouzwa ambazo kwa kawaida ulipiwa Kodi pale zinapotolewa madukani na kuja kuletwa kwa mtumiaji. Ni changamoto nyingine kwa vijana wa kitanzania hasa wamachinga lakini sio hao tu Kuna vijana wajasiriamali wa makabila Kama yote ya Tanzania.

Kuungua kwa soko hili kunaumiza nyoyo za vijana wengi. Mungu awapatie nguvu za kupambana upya. Kariakoo, Karume na .....mmh !! Sijui hujuma!!! Mnisamehe kwa hii post lakini imeniumiza Sana kuona vijana wakiumia.

Video imeambatanishwa hapa chini
Your browser is not able to display this video.
 
Naomba nikuulize CCM imevunja katiba kuwabakiza wabunge walifukuzwa CHADEMA. Mbona hamna hatua yoyote iliyochukuliwa? Mimi nimekuwa nikidai katiba mpya muda mrefu lakini nimegundua kuna tatizo kubwa sana kwetu, tunaogopa kudai haki zetu. Katiba ni maandishi tu, ni jukumu letu kuhakikisha inatekelezwa. Tunataka maandishi lakini tunaogopa kutekeleza.
 
Una uhakika na unalosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…