Hili soko bora lingejengwa kule Msumi mwisho yanapogeuzia mabasi ya kutokea Mbezi kuliko kuharibu mamilioni kujenga ktk maeneo ambayo watu hawahitaji soko la aina hiyo.
Haya yote yameharibika baada ya Magufuri kufariki! Kama angekuwepo watu wangeenda kule watake wastake!
Lakini sasa hizi sauti nyepesi haziwezi kutisha watu wakubali kwenda huko!
Haya yote yameharibika baada ya Magufuri kufariki! Kama angekuwepo watu wangeenda kule watake wastake!
Lakini sasa hizi sauti nyepesi haziwezi kutisha watu wakubali kwenda huko!