Soko la Kingalu Morogoro lina Paking ndogo sana

Soko la Kingalu Morogoro lina Paking ndogo sana

Msando hakufikiri sawasawa..... kujenga vibanda eneo la parking ni tatizo jingine ametengeneza!!
 
Kwenye swala la Parking nakuunga mkono mkuu hata mimi hiki kitu nilikiwaza. Sasa hivi inalazimu kupaki kwenye ile njia ya kuingilia napo imekua ni changamoto. Hili ni tatizo jipya!
 
Hapo si huwa yanapaki na magari yanayoshusha mizigo hapo sokoni, waambie waache uzwazwa.......hivyo vibanda wakajenge kwengine wasilazimishe mambo.....
 
Back
Top Bottom