KERO Soko la Kiusa, Mkoani Kilimanjaro ni chafu sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

milele amina

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
6,045
Reaction score
8,080
Your browser is not able to display this video.

Hii ni Hali ya Miji wa Moshi Manispaa, Mkoani Kilimanjaro.

Hii Hali kwa kweli imeanza kujirudia. Wananchi , wameshuhudia maeneo mengi hasa ya masoko na baadhi ya mitaa ya Kata za pembezoni uchafu ukiwa umezagaa, huko Moshi Manispaa.

Wananchi wameshindwa kuelewa shida Iko wapi? Na tatizo ni nini?

Kwa Hali hii,tunaambia tuende na mama 2025.



Soma Pia: Soko la Marangu Mtoni ni chafu sana, mamlaka zishughulikie changamoto hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…