Soko la kuku wa kienyeji Dar

Soko la kuku wa kienyeji Dar

westandtogether

Senior Member
Joined
Jul 8, 2020
Posts
164
Reaction score
242
Habari wakuu .
Nakuja mbele yenu wadau na wapenda maendeleo kuomba muongozo juu ya soko la kuku wa kienyeji Kwa Dar na majiji mengine mimi ni mfugaji ikiwezakan nipate connections ya maeneo ambapo nawez kuuza.
 
Bei ni shilingi ngapi kwa kuku mkubwa? Hii ikiwa ni pamoja na kumfikisha dar....
 
Back
Top Bottom