westandtogether
Senior Member
- Jul 8, 2020
- 164
- 242
Una kuku wangapi waliokomaa?Habari wakuu .
Nakuja mbele yenu wadau na wapenda maendeleo kuomba muongozo juu ya soko la kuku wa kienyeji Kwa dar na majiji mengine mm ni mfugaji ikiwezakan nipate connections ya maeneo ambapo nawez kuuza Kwa mawasiliano zaidi nicheki 0621363330.
wapo wengi kaka 200 na zaidiUna kuku wangapi waliokomaa?
Anhaq unauzaje mmoja mmoja mm sina hela sahiz hapawapo wengi kaka 200 na zaidi
Msimu huu umekosa kweli soko?wapo wengi kaka 200 na zaidi
Bei ni kuanzia 15000Anhaq unauzaje mmoja mmoja mm sina hela sahiz hapa
Sasa mbona ukipigiwa simu unaongea kama mtu ambae hujiamini,hao kuku ni wako au we ni dalali tu?bei kuanzia 15,000 mkuu
Amezoea message mkuu msamehe!!Sasa mbona ukipigiwa simu unaongea kama mtu ambae hujiamini,hao kuku ni wako au we ni dalali tu?
Naomba unichek mkuuKAHAMA KUNA UHITAJI MKUBWA SANA WA KUKU
Naweza kupata namba za wateja wajumlaKAHAMA KUNA UHITAJI MKUBWA SANA WA KUKU