Wadau habari!kwa wale ndugu zangu wenye uzoefu na soko la kuku wakienyeji katika masoko ya Dsm hasa Shekilango,Manzese,Tabata na Kisutu,
Naomba wanijuze kama kuna uwezekano wa kupata soko la kuuza kuku hao wa kienyeji katika masoko hayo,kama uwezekano upo je ni njia gani stahiki naweza tumia kuwapata wahusika stahiki kwa maana ya wanunuzi katika masoko hayo!!
Mimi nipo Mkoani na nilikua nataka kuanza kuuza kuku hao Dsm!
Asanteni sana!
Naomba wanijuze kama kuna uwezekano wa kupata soko la kuuza kuku hao wa kienyeji katika masoko hayo,kama uwezekano upo je ni njia gani stahiki naweza tumia kuwapata wahusika stahiki kwa maana ya wanunuzi katika masoko hayo!!
Mimi nipo Mkoani na nilikua nataka kuanza kuuza kuku hao Dsm!
Asanteni sana!