Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauza bei ngapi?Wadau nililima mahindi Kiteto nimejaliwa kupata gunia km 100 natafuta soko nchi ya jirani Kenya.
Mwenye kuweza kuniunganisha nikauze mazao yangu anipe mwelekeo
Unauza pesa ngapi gunia moja, tuanzie hapo kwanza. Na ni gunia ya 50 kg?Wadau nililima mahindi Kiteto nimejaliwa kupata gunia km 100 natafuta soko nchi ya jirani Kenya.
Mwenye kuweza kuniunganisha nikauze mazao yangu anipe mwelekeo
Magunia km 100. Sijawahi kusikiaWadau nililima mahindi Kiteto nimejaliwa kupata gunia km 100 natafuta soko nchi ya jirani Kenya.
Mwenye kuweza kuniunganisha nikauze mazao yangu anipe mwelekeo
Wasomi mna shida sanayaani unalima bila kujua utayauza wapi mazao yako??
Hakuna msomi hapo mkuu. amekaririshwa nadharia tu.Wasomi mna shida sana
Njoo namanga hapa faster tuu yanaishaWadau nililima mahindi Kiteto nimejaliwa kupata gunia km 100 natafuta soko nchi ya jirani Kenya.
Mwenye kuweza kuniunganisha nikauze mazao yangu anipe mwelekeo
Wewe nae kama kuna mambo haufahamu uwe unauliza kwanza.Magunia km 100. Sijawahi kusikia
Kwanini unauza Sasa kwa bei ya hasara...ukame ndio umeshaingia njaa yaja..Mahindi yatafika sh. 100,000 kwa gunia hivi karibuni...wakulima wamwshindwa kulima mwaka huu...kuwa na subiraWadau nililima mahindi Kiteto nimejaliwa kupata gunia km 100 natafuta soko nchi ya jirani Kenya.
Mwenye kuweza kuniunganisha nikauze mazao yangu anipe mwelekeo