Soko la Madini Dar Es Salaam ni hatari

RaJhumoR

Member
Joined
Mar 1, 2021
Posts
20
Reaction score
29
I hear a lot of talk kwamba Dar ni Soko la hatari sana kwenye sekta ya Madini! Je ni kweli ?
 
Zamani kuuza ilikuwa mpaka watu waje Dar kwa wanunuzi wakubwa. Walikuwa wanaporwa na kutapeliwa sana. JPM alivyojenga masoko kwenye maeneo yanakotoka madini Dar imepungua sana kama kitovu cha madini. Imebaki kuwa gate ya wahuni wanaotorosha madini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…