RaJhumoR Member Joined Mar 1, 2021 Posts 20 Reaction score 29 Mar 25, 2024 #1 I hear a lot of talk kwamba Dar ni Soko la hatari sana kwenye sekta ya Madini! Je ni kweli ?
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,307 Reaction score 47,210 Mar 25, 2024 #2 Hoodave said: I hear a lot of talk kwamba Dar ni Soko la hatari sana kwenye sekta ya Madini! Je ni kweli ? Click to expand... Sidhani Dar. Labda Arusha.
Hoodave said: I hear a lot of talk kwamba Dar ni Soko la hatari sana kwenye sekta ya Madini! Je ni kweli ? Click to expand... Sidhani Dar. Labda Arusha.
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 24,262 Reaction score 58,728 Mar 25, 2024 #3 Maghayo said: Sidhani Dar. Labda Arusha. Click to expand... Sio kweli kaka
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 24,262 Reaction score 58,728 Mar 25, 2024 #4 Hoodave said: I hear a lot of talk kwamba Dar ni Soko la hatari sana kwenye sekta ya Madini! Je ni kweli ? Click to expand... Hapana sio kweli
Hoodave said: I hear a lot of talk kwamba Dar ni Soko la hatari sana kwenye sekta ya Madini! Je ni kweli ? Click to expand... Hapana sio kweli
Lycaon pictus JF-Expert Member Joined Jan 31, 2021 Posts 9,189 Reaction score 16,128 Mar 25, 2024 #5 Zamani kuuza ilikuwa mpaka watu waje Dar kwa wanunuzi wakubwa. Walikuwa wanaporwa na kutapeliwa sana. JPM alivyojenga masoko kwenye maeneo yanakotoka madini Dar imepungua sana kama kitovu cha madini. Imebaki kuwa gate ya wahuni wanaotorosha madini.
Zamani kuuza ilikuwa mpaka watu waje Dar kwa wanunuzi wakubwa. Walikuwa wanaporwa na kutapeliwa sana. JPM alivyojenga masoko kwenye maeneo yanakotoka madini Dar imepungua sana kama kitovu cha madini. Imebaki kuwa gate ya wahuni wanaotorosha madini.
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Mar 25, 2024 #6 Hoodave said: I hear a lot of talk kwamba Dar ni Soko la hatari sana kwenye sekta ya Madini! Je ni kweli ? Click to expand... umesikia ila hujathibitisha right?
Hoodave said: I hear a lot of talk kwamba Dar ni Soko la hatari sana kwenye sekta ya Madini! Je ni kweli ? Click to expand... umesikia ila hujathibitisha right?