Wadau habari za majukumu! naombeni mnisaidie mahali ambao lipo soko la uhakika la zao la mahindi Tanzania nisaidieni Nina magunia kama 500,na ikiwezekana nisaidieni taarifa mabali mbali toka huko mnakokaa Mimi Niko mkoa wa manyara wilaya ya mbulu.tafadhali sana katika hili na subiria mchango wenu wenye tija kwangu kama kuna mwenye taarifa tuwasiliane kwa namba hizi za simu 0787509377 au 0788693495.