briophyta plantae
Senior Member
- Feb 18, 2017
- 117
- 132
Ushuru unalipwa kama kawaida.kuna tatizo hapoSi ajabu unaweza kukuta wanachukuwa ushuru wa soko na hawasahau hata siku moja!
Eneo unaloona limeezekwa bati,hapo paliandanilwa kwaajili ya kukusanyia taka ila pamejaa na sasa wamerundika mpaka nje ya eneo hiloKwa mazingira hayo hata hapakupaswa kuwa na uchafu maana number sio kubwa na maeneo ya kutupa taka na kuzichoma ni mengi
Marangu ni sehem ya wasomi wengi sana nashangaa wanakosa vipi ustaraabu kiasi hicho!? InasikitishaEneo unaloona limeezekwa bati,hapo paliandanilwa kwaajili ya kukusanyia taka ila pamejaa na sasa wamerundika mpaka nje ya eneo hilo
Yeah!.... halmashauri husika Wana kazi ya kufanyaKwa mazingira hayo hata hapakupaswa kuwa na uchafu maana number sio kubwa na maeneo ya kutupa taka na kuzichoma ni mengi
Zikiondolewa utoeupdate mkuu
Safi sana, hii ndiyo asili ya Watanzania, hatupendagi usafi hata kidogo, na usikute kuna mtu ananuka makwapa na sehemu za siri shinda huu uchafu lakini bado anajiona hanuki.Soko ni sehemu inayotakiwa kutunzwa na kuheshimiwa sana, ni sehemu ya kibiashara na hasa sehemu tunapopata mahitaji yetu ya chakula kwa tulio wengi.
Kwa mji mdogo wa Marangu kuwa na soko lenye taka nyingi kiasi hichi zenye zaidi ya miezi kadhaa bila kutolewa na ikizingatiwa ni mji wa kitalii pia kwa kupitisha wageni wengi wanaopanda mlima Kilimanjaro.
Ni taswira mbaya sana kwetu, kwakweli hii haijakaa sawa hata kidogo. Nashindwa kuelewa uongozi unachangamoto gani katika kutatua hili tatizo.nilikuja marangu mwaka jana hili eneo lilikuwa hivi hivi, hata vyoo navyo ni vichafu mno.
Serekali itusaidie hapa.
View attachment 3006637
View attachment 3006640