Soko la mayai Morogoro

Soko la mayai Morogoro

1800

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
2,215
Reaction score
604
Wadau habari!naingia jamvini ili kuweza kuomba msaada na ushauri juu ya soko la mayai mkoani Morogoro,lengo langu kubwa ni kutaka kujihusisha na usambazaji wa mayai hayo (ya kuku wa kisasa) katika mkoa wa Morogoro kwa bei nafuu kidogo,nina uwezo wa ku supply tray za mayai kati ya 10 mpaka 50 kwa siku!kikwazo changu kikubwa ni upatikanaji wa soko mkoani humo,tafadhari kwa yeyote mwenye kujua sehemu napoweza ku supply mayai hayo mkoani Morogoro naomba aniunganishe,asanteni
 
Wadau habari!naingia jamvini ili kuweza kuomba msaada na ushauri juu ya soko la mayai mkoani Morogoro,lengo langu kubwa ni kutaka kujihusisha na usambazaji wa mayai hayo (ya kuku wa kisasa) katika mkoa wa Morogoro kwa bei nafuu kidogo,nina uwezo wa ku supply tray za mayai kati ya 10 mpaka 50 kwa siku!kikwazo changu kikubwa ni upatikanaji wa soko mkoani humo,tafadhari kwa yeyote mwenye kujua sehemu napoweza ku supply mayai hayo mkoani Morogoro naomba aniunganishe,asanteni
 
Anzia soko kuu la mjini Morogoro, fanya utafiti kidogo kwa wale wachuuzi pale. Wananua wapi, bei gani , uwezo wao wa kununua (yaani trays ngapi kwa siku etc, baada ya hapo hamia kwenye hoteli na wachoma chipsi wale wa usiku maeneo yote yanayozunguka Luna na kahumba, Chipukizi etc. Kama Tray wanauziwa Tshs 6500 wewe wauzie kwa Tshs 6000
 
jaribu pia vyuoni km mzumbe maana pale pana cafteria, lumumba na idm waweza pata wateja hapo
 
Anzia soko kuu la mjini Morogoro, fanya utafiti kidogo kwa wale wachuuzi pale. Wananua wapi, bei gani , uwezo wao wa kununua (yaani trays ngapi kwa siku etc, baada ya hapo hamia kwenye hoteli na wachoma chipsi wale wa usiku maeneo yote yanayozunguka Luna na kahumba, Chipukizi etc. Kama Tray wanauziwa Tshs 6500 wewe wauzie kwa Tshs 6000

Asante sana mkuu,umenipa mwanga wapi pa kuanzia!
 
Back
Top Bottom