Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Connection...Ili mpate nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Connection...Ili mpate nini?
Watanzania wengi huwa wanapenda kuongelea vitu ambavyo hawavijui huwezi iongelea nissan xtrail kama hujawai imiliki au ukaongela kutaokana na experience ya mwenzio,
Je unajuaje hao wanaosema zinachemsha labda wana miss use gari, maana kuna watu hawafai pia kama x trail zingekuwa mbovu kama watazania wanavyosema nadhani ilibidi kiwanda kisizalishe.
Cha muhimu gari litadumu kutegemea na wewe mwenyewe ulivyo like mtoto umleavyo ndivyo akuavyo....
1.Usiongelee kitu kama hujawahi kimiliki tuache story za vijiweni
2. Nissan x trail ni gari nzuri sana cha msingi zingatia service as directed by nissan manufacturer usipende cheap spare parts ( hapa ndo pagumu)
Ni mwaka wa nane huu natumia hiyo gari na inatwanga mapori kama kawa tofauti na watanzania wavyosema....
Miss M4C coolant ni kwa ajili ya kuweka pamoja na maji kwenye rejetam hivyo wewe weka katika gari lolote si lazima iwe NissanIvi coolant ipo maalum ya nissan au ya gari yoyote?
Coolant usichanganye na maji unapoiweka kwenye rejeta.Miss M4C coolant ni kwa ajili ya kuweka pamoja na maji kwenye rejetam hivyo wewe weka katika gari lolote si lazima iwe Nissan