Soko la sato wa kufuga

Soko la sato wa kufuga

Joined
Jun 21, 2021
Posts
32
Reaction score
29
Wajasiriamali wa chakula, tufahamishane soko la bidhaa hii ya chakula, yaani sato wakufuga kwenye mabwawa, kwa jiji la Dar lipo wapi? Uzito ni samaki wa 3 hadi 4 kilo, bei ya jumla ya bidhaa kuanzia kilo 50 ikifatwa shamba, Kigamboni ni TZS 7500. Karibuni
 
Wajasiriamali wa chakula, tufahamishane soko la bidhaa hii ya chakula, yaani sato wakufuga kwenye mabwawa, kwa jiji la Dar lipo wapi? Uzito ni samaki wa 3 hadi 4 kilo, bei ya jumla ya bidhaa kuanzia kilo 50 ikifatwa shamba, Kigamboni ni TZS 7500. Karibuni
Weka na picha ya hao samaki watu watathimini ukubwa na pia ainisha kigamboni sehemu gani ili mtu aweze kupiga hesabu sawa sawa za usafiri.
 
Weka picha hiv hao sato wanakuwa wana radha km wale wa ziwani
 
Back
Top Bottom