Nani wa kuthibitisha hilo?? Kama ni kweli serikali imehusika nani wa kuwachukulia hatua?Ikiwa itathibitika ni kweli basi Kuna haja ya kuwapima wahusika akili.
Kuwahamisha wafanya biashara mbeya sio jambo la kitoto, kuna mwaka walijaribu kuwahamisha wamachinga ilikua ni balaa tupu. Mbeya watu ni wavumilivu ila siku wakikutolea uvivu hutoamini macho yakoDuh.......... Kweli kulikuwa na huko ulazima, Serikali inaweza kumfanya mtu shame nyumba yake kupisha mradi Fulani, imeshindwa nini kuwatoa hao mpk ichome moto hilo solo.......hapa kuna utani ndani yake.
You dont sound like a non~mshamba.Hapana
Acha dharau we haja kubwaWanyakyusa washamba sana.View attachment 567465
But serikali ya awamu hii haitawaacha salamaDah watakuwa wamechoma ili jengo lao walojenga watu mapange, coz upande unaoungua sio upande wa walikojenga soko lao. Kama walvochomaga mwanjelwa ths tm wamechoma sido.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachome wenyewe afu isiwaache salama, hw?But serikali ya awamu hii haitawaacha salama