mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana mbeya itaendelea kuwa kijiji kikubwa kieneo, haiwezekani matukio ya kuungia maeneo yanakuwa mengi hivi wakati hamna hata 'wild fire' yoyote huko!!
Pengine yakiungua ndo serikali itakumbuka kuwa Mbeya nayo ni mji wa kuendelezwa!Ndo maana mbeya itaendelea kuwa kijiji kikubwa kieneo, haiwezekani matukio ya kuungia maeneo yanakuwa mengi hivi wakati hamna hata 'wild fire' yoyote huko!!
Duu yaani wewe hata huku jamvini hufai.Habari na kupoa imeshapoa wala sio breaking news tena ndio unakuja kuulizia. Mkuu nunua hata kiredio cha Mkulima acha kututia aibu
Kwa hiyo serikali iwe inajenga alafu wao wanachoma eeeh! Hizi akili hizi, dah!Pengine yakiungua ndo serikali itakumbuka kuwa Mbeya nayo ni mji wa kuendelezwa!
Sasa hivi nguvu zote ni huko kaskazini.
Nenda Mwanjelwa barabara ya Zambia, haipitiki 90% of the time, pengine nayo ikiungua serikali itafanya kitu.
jana ulikuwa wapi?Habari wanajamvi....
Kuna taarifa inatembea mitandaoni kuwa soko kuu la sido Mbeya imeteketea kwa Moto hii habari ni ya kweli???????
Walioko Mbeya mtujuze......
Wanyakyusa washamba sana.Pengine yakiungua ndo serikali itakumbuka kuwa Mbeya nayo ni mji wa kuendelezwa!
Sasa hivi nguvu zote ni huko kaskazini.
Nenda Mwanjelwa barabara ya Zambia, haipitiki 90% of the time, pengine nayo ikiungua serikali itafanya kitu.
Pengine yakiungua ndo serikali itakumbuka kuwa Mbeya nayo ni mji wa kuendelezwa!
Sasa hivi nguvu zote ni huko kaskazini.
Nenda Mwanjelwa barabara ya Zambia, haipitiki 90% of the time, pengine nayo ikiungua serikali itafanya kitu.
Kwa hiyo serikali iwe inajenga alafu wao wanachoma eeeh! Hizi akili hizi, dah!
Kuungua kwa masoko kutakuwa na kitu nyuma ya pazia ipo cku itajulikana tu...
Ushamba wao nn ?Wanyakyusa washamba sana.View attachment 567465
Common sense yasema NDIO, inakuaje mikoa mingine matukio ya maeneo kuungua moto hamna??kumbe wanachoma makusudi eeee
Wametumbuliwa kwa sababu ya deni kubwa lililolimbikizwa kwa kutolipwa hata kidogo tangu jengo la soko la mwanjelwa lilipoanza kujengwa.Majaliwa katoka uko kama two weeks zimepita katumbua watu balaa naona sasa Safar yake imetiki anataka watu wahamie soko jipya kwa lazma
Sent using Jamii Forums mobile app