Soko la Sido laungua moto jijini Mbeya

Mnataka wawekezaji wakati hata fire haupo?!. Nani aje awkeze mabilioni hapa?!. Nimesikitika sana kama kuna mtu kafanya makusudi basi vilio vimwendee yeye na watu waje. Should not be the curse of the nation rather his,/her family.
Kwani fire zikiwepo ndo vitu haviungui? Mara ngapi fire zipo bila mafanikio ya kuzima Moto? Hata hapo nasikia fire zilizidiwa na Moto

Usije na story za ooh mara Ulaya hivi Mara Ulaya vile hata huko vitu vinaungua kila siku japo fire zipo kila mtaa. Last month tu jengo zima limeungua Uingereza na kuteketeza watu pamoja na mali, napo hakuna fire?
 
Huko Mbeya sijui kuna nini?Sitakaa nisahau yule Waziri alikufa kwa ajali ya ndege akitoka kukagua soko lililoungua moto Mbeya.
Nasikia walimpiga juju! Watu wameunguliwa mali zao na mitaji kupotea yeye anasema amefurahi soko hilo kuungua ili wajenge soko jipya na la kisasa.
 
Serikali inahusika na uchomaji wa masoko coz wanakuwa na mipango ya kujenga masoko ya kisasa kama lilivyo soko la Mwanjelwa, na kule uhindini. Mtabisha reality will remain as it is

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwa na ukweli ila kudhibitisha ndio huwa ngumu mno sio kidogo.
Katika maswaala haya kuanza kuishutumu serikali huwa naona kama sio nzuri maana inakinzana na jitihada za serikali za kuhakikisha wananchi wanajikomboa katika maisha magumu.

Sasa kuishutumu ni suala la kufikiri Mara mbili mbili hata kama ni Afisa mmoja kahusika haimaanishi ni serikali imehujumu huyu ni mtu binafsi.
Pia kuna matazamio mengine labda washindani Wa kibiashara waliofungua huko kulikojengwa na serikali wanawahujumu ,labda haina uhakika ,labda kuna wafanyabiashara wanaodaiwa wanataka bima ihusike labda .

"Never stop learning because life never stop teaching"
 
ngoja wakuu wa upelelezi waanzie kuchukua theory huku.... lakini kwa tukio hili la mbeya watu wa bima nadhani mbeya kwao itakuwa ni sehemu mbaya kuwekeza...

kikubwa ni kuomba mungu, kwa familia ambazo bila hatia maisha yao yanaenda kuanza upya..

poleni ndugu zangu...pole nchi yangu.
 
Daaaaahhh so sad [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…