Soko la Sido laungua moto jijini Mbeya

Soko la Sido laungua moto jijini Mbeya

Ni kweli nimepata hizi habari from my school mate aliyeko mbeya
 
Naamuru huo moto uzimike sasa!

usitembee juu ya ardhi kwa majivuno
 
ni mkakati Wa kuwarusisha wafanyabiashara mwanjelwa!ha!ha!ha!ha!
Naiona soko la uhindini likirudi kwa kasi!
Unakaribia ukweli, pia wanawalazimksha waingie jengo jipya lile walilopiga mameya kwanza naskia kina ufa
 
Dah watakuwa wamechoma ili jengo lao walojenga watu mapange, coz upande unaoungua sio upande wa walikojenga soko lao. Kama walvochomaga mwanjelwa ths tm wamechoma sido.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG-20170815-WA0041.jpg
As received.
 
Acha liungue tu

Yes am cunt, next question?
 
ni mkakati Wa kuwarusisha wafanyabiashara mwanjelwa!ha!ha!ha!ha!
Naiona soko la uhindini likirudi kwa kasi!
There you are, wengine wanapaswa kwenda nane nane

Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile App
 
Back
Top Bottom