Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo watakuwa watu wamekula njama ili watu waamie soko jipya ambalo watu wameshindwa kuamia kutokana na gharama ya pangoHivi huko mbeya huwa wanachoma masoko makusudi au??Manake hawamalizi mwaka bila masoko yao kuungua
sido ndo WAP?ebu tulia utueleze upo mkoa gan?
Juma Jamalidni AkukwetiNaikumbuka hii mkuu,nasikia roho yake iliacha mwili akiwa Mbeya.
Philips X2560
Kweli kabisa hapa kuna kituHivi huko mbeya huwa wanachoma masoko makusudi au??Manake hawamalizi mwaka bila masoko yao kuungua
Lazima utakuwa na mawazo na roho mbaya sana hiyo serikali gani duniani inaweza kufanya hivyoSerikali inahusika na uchomaji wa masoko coz wanakuwa na mipango ya kujenga masoko ya kisasa kama lilivyo soko la Mwanjelwa, na kule uhindini. Mtabisha reality will remain as it is
Sent using Jamii Forums mobile app