Soko la Vitabu vya General Studies

Soko la Vitabu vya General Studies

ALPHA2012

Member
Joined
May 9, 2012
Posts
12
Reaction score
8
Wadau, nimeandika Kitabu cha somo la General Studies kinachoitwa " EXCEL in General Studies". Ni Kitabu cha maswali na majibu. Kuna jumla ya maswali 108 pamoja na majibu yake. Somo hili hufundishwa wanafunzi wa Kidato cha 5 na 6 hapa nchini. Nimeshauza kwa baadhi ya wanafunzi waliopo Dar es salaam. Namkaribisha mtu yeyote mwenye ushauri kuhusu namna ya kupata soko pana zaidi au kama yeye mwenyewe anaweza kuniunganisha kwa wateja. Aksanteni.
 

Attachments

Fanya hivi: Mtafute Nyambari Nyangwine haraka. Yeye ana duka lake la vitabu na anachapisha mwenyewe. Mkielewana naamini utapiga hela nzuri tu. Mtafute yupo Facebook. Kila la heri mkuu.
 
Back
Top Bottom