- Thread starter
- #21
Kama unatumia app ya JF ni rahisi ku attach pictures. Ukifungua sehemu ya ku reply juu kabisa mkono wa kuume baada ya mshale kuna viboksi vidogo vitatu ukifungua pale utapata option ya ku attach picture. Kama unatumia browser ngoja niangalie kama inawezekana.
Asante Dada yangu kwa kunielekeza, nimeshatuma unawez