Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
wakati wana JF walipokutana Arusha....waliliwakilisha hilo kwa Maxence....nadhani atakuwa analifanyia kazi
Lifanyiwe kazi,wasaidike wenye uhitaji huo.....i hope majukwaa mengine hayatamezwa......l.o.l:laugh::laugh::laugh:
Nimepitia maoni ya wana-JF wengi humu na kubaini kuna kiu kubwa ya forum ya matchmaker.....................wako wengi wanataka uchumba au urafiki lakini wanajimungunya humu kwa kukosa forum sahihi ya kujimwaga.............................
Sijui wenzangu mnalionaje hili.................................lifanyiwe kazi au la......................
wakati wana JF walipokutana Arusha....waliliwakilisha hilo kwa Maxence....nadhani atakuwa analifanyia kazi
Best vipi ww umeshapata au bado upo upo :coffee:
wakati wana JF walipokutana Arusha....waliliwakilisha hilo kwa Maxence....nadhani atakuwa analifanyia kazi
PHP:Best vipi ww umeshapata au bado upo upo :coffee:
Swali hilo niulize kwenye PM yangu nitakupa jibu la uhakika.............................
wakati wana JF walipokutana Arusha....waliliwakilisha hilo kwa Maxence....nadhani atakuwa analifanyia kazi
Hiyo avatar nimeipenda!! big up yourself Preta......:laugh::laugh::laugh:
umefichwa loki au engaruka??????
why? preta why? kwanini lakini preta? sawa bana.thx baby girl....how is you.......
thx baby girl....how is you.......
Terrat my dear.....hihihi.....hujambo....
mi cjambo mpenzi,,hiyo terat hiyo!!!haya basi hebu msikilize klorokwin hapo juu
yaani madaktari waliniambiaga ukipotea siku nne tu zaidi mie napoteza uhai, dah! hii skukuu ya leo kuliko krismasihuyu klorokwin alininyanyasa sana kipindi cha nyu yia....kutesa kwa zamu bana....acha ajibebe
huyu klorokwin alininyanyasa sana kipindi cha nyu yia....kutesa kwa zamu bana....acha ajibebe