The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Aiseee Preta kumbe unakumbukumbu nilifikiri umesahau lol!!!! Nafikiri Maxence atakuwa ameishaanza kuwatengenezea separate forum wenye huo huhitajiwakati wana JF walipokutana Arusha....waliliwakilisha hilo kwa Maxence....nadhani atakuwa analifanyia kazi
Aiseee Preta kumbe unakumbukumbu nilifikiri umesahau lol!!!! Nafikiri Maxence atakuwa ameishaanza kuwatengenezea separate forum wenye huo huhitaji
Mkongwe wa JF anasema sikupita kule kwenye lile jukwaa,niliingia kinyemela.....inabidi nianze upya......:coffee:
Ruta maji hayajanifikia shingoni kiasi hicho badoPHP:Aiseee Preta kumbe unakumbukumbu nilifikiri umesahau lol!!!! Nafikiri Maxence atakuwa ameishaanza kuwatengenezea separate forum wenye huo huhitaji
Wewe huna uhitaji huo?
Nimepitia maoni ya wana-JF wengi humu na kubaini kuna kiu kubwa ya forum ya matchmaker.....................wako wengi wanataka uchumba au urafiki lakini wanajimungunya humu kwa kukosa forum sahihi ya kujimwaga.............................
Sijui wenzangu mnalionaje hili.................................lifanyiwe kazi au la......................
Why kujimung'unya while i am here say what you feelkweli bwana. Tushachoka kujimung'unya. Lol!
hehehe hiyo dasophy usiitaje bana itaharib apetait yangu ya kukoga, heheheh si unaona maneno sasa bana. tupendane kama email na password . hivi nikiuliza ulikuwepo wapi hautokasirika?
Why kujimung'unya while i am here say what you feel