smile of faith
Member
- Jun 30, 2015
- 17
- 12
Hello guys,
Mimi ni mfanyabishara wa vitu vya kike (nguo na viatu). Nataka kwenda SOUTH AFRICA kujuana na supplier na kujua soko la kule likoje. Utaratibu wa kusafirisha mizigo na kilo kitu. Kuna anayefahamu haya. Soko la kule likoje?
Na baadhi ya suppliers pia.
Mimi ni mfanyabishara wa vitu vya kike (nguo na viatu). Nataka kwenda SOUTH AFRICA kujuana na supplier na kujua soko la kule likoje. Utaratibu wa kusafirisha mizigo na kilo kitu. Kuna anayefahamu haya. Soko la kule likoje?
Na baadhi ya suppliers pia.