smile of faith
Member
- Jun 30, 2015
- 17
- 12
Labda nikusaidie kukuingiza kwenye group la watu wa uko uulize upate majibu mwenyewe utachuja mwenyewe pumba na mchele.Hello guys..mimi ni mfanyabishara wa vitu vya kike (nguo na viatu). Nataka kwenda SOUTH AFRICA kujuana na supplier na kujua soko la kule likoje. Utaratibu wa kusafirisha mizigo na kilo kitu. Kuna anayefahamu haya. Soko la kule likoje? Na baadhi ya suppliers pia.
Nguo mpya au mtumba?kama ni za mtumba wahitaji nicheki whatsapp nikutumie kutoka Dubai +971527794329Hello guys,
Mimi ni mfanyabishara wa vitu vya kike (nguo na viatu). Nataka kwenda SOUTH AFRICA kujuana na supplier na kujua soko la kule likoje. Utaratibu wa kusafirisha mizigo na kilo kitu. Kuna anayefahamu haya. Soko la kule likoje?
Na baadhi ya suppliers pia.
please do thanks! 0689551828Labda nikusaidie kukuingiza kwenye group la watu wa uko uulize upate majibu mwenyewe utachuja mwenyewe pumba na mchele.
thank you. sikuoni whatsapp. naomba nitext +255689551828Nguo mpya au mtumba?kama ni za mtumba wahitaji nicheki whatsapp nikutumie kutoka Dubai +971527794329
Hello guys,
Mimi ni mfanyabishara wa vitu vya kike (nguo na viatu). Nataka kwenda SOUTH AFRICA kujuana na supplier na kujua soko la kule likoje. Utaratibu wa kusafirisha mizigo na kilo kitu. Kuna anayefahamu haya. Soko la kule likoje?
Na baadhi ya suppliers pia.
Wa south nawaonaga kama wa Nigeria tu. Kama vile matapeli tapeli tuLabda nikusaidie kukuingiza kwenye group la watu wa uko uulize upate majibu mwenyewe utachuja mwenyewe pumba na mchele.