Soko zuri la alizeti

Soko zuri la alizeti

Mledi haswa

Senior Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
161
Reaction score
172
Natanguliza shukran za dhati kwa wanajamvi. Ni matumaini yangu wanajamvi wengi wetu mmepitia na kusoma habari za alizeti, kwa yoyote mwenye mchango wa soko la uhakika na bei ya alizeti kuanzia mwezi wa saba hadi mwezi wa 12, mahali ntakapokua nazitoa ni mkoa wa manyara na singida pia ,lakini pia soko la mafuta ya alizeti likoje ? Msaada wenu ni muhimu sana wanajamvi
 
Back
Top Bottom