KunjyGroup
JF-Expert Member
- Dec 7, 2009
- 352
- 26
Kifo cha Sokoine kilimkera na kumtoa machozi Mwalimu!
Kolimba hakuwa kipenzi cha Mwalimu baada ya sakata la G55, rejea Kitabu cha Mwalimu cha UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
umo umo kama ulikweponakuunga mkono,
bila hata ukono,
mwendo wa konokono,
CCJ ndo ngao yetu,
Wengi wao wanoko,
ng'ang'ania kama ukoko,
njoo kwetu kunako,
CCJ ndo ngao yetu,.....
Nimeipenda sana hii!nakuunga mkono,
bila hata ukono,
mwendo wa konokono,
CCJ ndo ngao yetu,
Wengi wao wanoko,
ng'ang'ania kama ukoko,
njoo kwetu kunako,
CCJ ndo ngao yetu,...
Si Mpendazoe tu bali hata Butiku,Jaji Warioba na kwa ujumla ile ccm halisi.wako walioko ccm wakiwa mateka wa ccm makamanda.
hapa kuna mechi kali CCM makamanda V'S CCM makada,na refarii ni MAFISADI.Ukicheza rafu(kusema ukweli)unapigwa red card kama yaliyowakuta ma-striker mahiri Shelukindo na Selelii.
Tunajadili mawazo ya marehemu kwani sisi tulio wazima leo hii hatuna tena mawazo? Akili zetu zimebadilishwa na mifumo ya Computer (Software)? Wewe mtoa mada ungesema CCM wamekwama wapi na nini wanatakiwa wafanye ili kujikwamua
.......Wewe mtoa mada ungesema CCM wamekwama wapi na nini wanatakiwa wafanye ili kujikwamua
Tunajadili mawazo ya marehemu kwani sisi tulio wazima leo hii hatuna tena mawazo? Akili zetu zimebadilishwa na mifumo ya Computer (Software)? Wewe mtoa mada ungesema CCM wamekwama wapi na nini wanatakiwa wafanye ili kujikwamua
Tunajadili mawazo ya marehemu kwani sisi tulio wazima leo hii hatuna tena mawazo? Akili zetu zimebadilishwa na mifumo ya Computer (Software)? Wewe mtoa mada ungesema CCM wamekwama wapi na nini wanatakiwa wafanye ili kujikwamua
KAMA kichwa cha habari cha makala hii kinavyojieleza kuwa namkumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Hayati Horace Kolimba ambaye alifariki dunia mwaka 1997, ndipo ninapotaka kuelekeza hoja yangu ili kujadili hali ya kisiasa ya ndani ya chama hicho na mustakabali wake.
Swali la kujiuliza msomaji ni kwanini leo nasema namkumbuka Kolimba?
Namkumbuka Kolimba kwa sababu aliweza kuonyesha ushujaa wa kukiambia ukweli chama ambacho alikuwa Katibu Mkuu na kada wa ngazi ya juu, alithubutu kusema kile ambacho kilikuwa kikimkereketa kwenye nafsi yake kwa ajili ya kukinusuru chama.
Hayati Kolimba, alipata kukikosoa chama chake kwa kubainisha kuwa kimekosa dira na mwelekeo, kauli ambayo ilikiweka chama katika wakati mgumu, kauli kama hiyo hivi sasa imerudiwa kutiwa nakshi na aliyekuwa kada wa chama hicho na Mbunge wa jimbo la (Kishapu) Fred Mpendazoe.....