Sokoine na Kolimba, vifo vyao vilimkera Mwalimu kiasi gani?


we umetumwa na ndo maana hamjadili kero za watu na jinsi ya kuzitatua badala yake mnajadili watu na kupiga umbeya usio na msingi!yapo mengi sana ya kushare na jamii lakini unaleta unafuiki wako wa kuchonganisha watu!ccm imekufa kabisaaaaaaaa unafanya nini ili ifufuke sio umbeya tuuuuuuuuu! f*ra mkubwa wewe!cdm ina watu wanaojua chama kinafanya nini?kiantakiwa kufanya nini, na nani atafanya nini sio ******* yameuza nchi yote na ubafiki mkubwa wenu mkijilimbikizia mali za nchi!ole wenu make mwisho wenu u karibu sana!snztyp!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Na wala sio secretarieti iliyoibua hoja hiyo Hoja hiyo imeibuliwa na Wilson Mukama ambaye ni undercover kutoka CCM. hivi awe ameibua regia au hata chacha wangwe inatusaidia nini ? hoja imeletwa ina impact wacha ifanyiwe kazi hata kama imeletwa na nani! sisi tunachoangalia ni matokeo sio nani ka creat. UPo!
 
Kila nikisikia Zitto namfananisha na Ismail Jussa kule Barza la wawakilishi.

Wote ni makini na wana hoja nzito sana na mara zote wanajipanga, kujiridhisha kabla kutoa hoja zao.

Hongereni sana
 
Ha ha ha hii ni JF ukileta za kuleta unapashwa mpaka basi zungumzia mambo ya muhimu kwa taifa letu sio watu huko tumetoka na hatutageuka nyuma mleta mada hovyooooooooooo
 
toka mpitishe katiba mpya ya ccm mmejipanga kwa kweli.
 
hoja yoyote huanza na mtu, kisha huingizwa kikaoni mwisho hutolewa maamuzi ya jumla ambayo tunaita maamuzi ya kikao halali, haijalishi nani alianzisha mada............. Mtamaliza visigino kufuatilia yasiyo wahusu, Hovyo.


Nimeipenda sana hii PICHA ambayo inawakilisha na kusherehekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.

Eti bado kuna watu tunaishi katika nyumba hizi tena katika miji mikubwa Mfano DSM ambayo ni makao makuu ya Raisi wa Nji.

AIBUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU.

TUKISEMA UKWELI......... ETI MNATUITA KUWA SISI NI CHADEMA!!!!!!!!!!!!!!!! KUMBE WALAAAAAH SISI NI WADANGANYIKA WALALAHOI!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
"Sasa mtu ambaye hakuwa mjumbe na ambaye hakualikwa kwenye mkutano wa sekretarieti anawezaje kuibua hoja kwenye kikao ambacho hakuwapo," alihoji kiongozi huyo kwa sharti la kutotajwa jina.

Sasa hicho chanzo cha habari hii kama ni cha ukweli, KWA NINI ANAKATAA KUTAJWA HADHARANI JINA LAKE.

Ni habari ya ULONGO tu imetengenezwa kama walivyo fanya kesi ya kumpinga LEMA KULE ARUSHA. mashahidi wanajiumauma midomo.

Aangalie huyu naye asije kuwa kama wale wa Arusha!!!!!!!!!!!!!!!!!!

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Chadema ina watu wenye akili hawajadili watu wanajadili mada. Nyie endeleeni kujadili watu msishughulikie matatizo ya watz, jibu mtalipata 2015, vilaza wakubwa nyie.

Mlaaniwe kwa kuwahadaa watz kwa ajili ya matumbo yenu makubwa.

Viongozi ni nguzo muhimu katika jamii yoyote ile vikiwemo vyama vya siasa, kwa hiyo kujadili mstakabali wa ZITTO KABWE ndani ya CHADEMA si kuwahadaa viongozi...ni kweli kwamba wamemkana hadharani na penye ukweli tuwe tunakubali.
 
Viongozi ni nguzo muhimu katika jamii yoyote ile vikiwemo vyama vya siasa, kwa hiyo kujadili mstakabali wa ZITTO KABWE ndani ya CHADEMA si kuwahadaa viongozi...ni kweli kwamba wamemkana hadharani na penye ukweli tuwe tunakubali.
Kuna nchi walikuwa na Propaganda kama Urusi lakini ilifika mahala ikakatika vipande,CCM wenyewe wamefuta kitengo cha propaganda tunataka tuone nyie masalia katika nyakati hizi kama mutaweza kwa propaganda uchwara jipangani manake watanzania tumeamuka
 
Kuna jitihada kubwa za kuzua "migogoro ya 'kufikirika' ndani ya Chadema.Huo ni mwendelezo wa mafisadi na vibaraka wao kutapatapa baada ya hoja za UKABILA (UKANDA/UKASKAZINI) na ile ya UDINI kupuuzwa na Watanzania wengi wenye akili timamu.Sasa jitihada zimeelekezwa katika kuzua 'migogoro' isiyokuwepo na ****** mwingine kama huo.Kama hoja za ukanda na udini zilivyokufa kifo cha asili,hii ya uzushi wa migogoro feki nayo itajifia yenyewe.

Kosa la wazembe hawa ni kupuuza uwezo wa wanyonge kutambua nani yupo kwa maslahi yao na nani yupo dhidi ya maslahi yao.Priority ya mlalahoi kwa sasa sio kiongozi ni Mchaga au Mkristo bali atamkomboa vipi kutoka lindi la umsikini na ufisadi.
 
Huyu mwandishi ni mwanaume. Unapomuona mwanaume anatumia jina la kike ujie kuna shida
 
Chadema ina watu wenye akili hawajadili watu wanajadili mada. Nyie endeleeni kujadili watu msishughulikie matatizo ya watz, jibu mtalipata 2015, vilaza wakubwa nyie.

Mlaaniwe kwa kuwahadaa watz kwa ajili ya matumbo yenu makubwa.

haijawahi kutokea chadema ikawa na watu wabovu wabovu na ndio maana haina migogoro kwa hiyo usitegemee kuwagombanisha
 
mleta mada hajakosea kaleta mada mujadili sio kumtukana ushauri wa bure jamii forum sio ya chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…