Unavyotengeneza mbinu (strategies) mbali mbali za biashara.
Basi bidhaa (product) inaingia, kuwa miongoni mwa mbinu (strategies) zako.
Hapa tunapata kitu kinaitwa, setting product as a strategy.
Kuna msemo unasema "at the heart of a great brand is a great product "
Ili kupata uongozi sokoni (market leadership), lazima kuwa na bidhaa zenye ubora mkubwa
Ili kuifanya bidhaa yako, kama sehemu ya mbinu zako za kibiashara (strategies)
Kuna vitu vingi sana vya kuvitazama, lakini leo nimekupa hapa vitu vitatu.
Ambavyo ni designing, packaging na labeling
Hivi vitu vitatu usipiviangalia vizuri, biashara yako itakuwa miongoni mwa biashara zinazopuuzwa sana sokoni.
Kwa nini? Kwa sababu vitu hivyo vitatu ndio hubeba ile hisia ambayo mteja anakuwa nayo anapofanya maamuzi ya kununua.
Biashara nyingi za wajasiriamali, utakuta haina taarifa muhimu, kiasi kwamba mteja anaona ananunu sumu😂😂
Niambie kwenye comment, unayazingatia kwa kiasi gani hayo mambo matatu kwenye biashara yako?
#letstalkbusiness #salestips #digitalmarketing #service
Basi bidhaa (product) inaingia, kuwa miongoni mwa mbinu (strategies) zako.
Hapa tunapata kitu kinaitwa, setting product as a strategy.
Kuna msemo unasema "at the heart of a great brand is a great product "
Ili kupata uongozi sokoni (market leadership), lazima kuwa na bidhaa zenye ubora mkubwa
Ili kuifanya bidhaa yako, kama sehemu ya mbinu zako za kibiashara (strategies)
Kuna vitu vingi sana vya kuvitazama, lakini leo nimekupa hapa vitu vitatu.
Ambavyo ni designing, packaging na labeling
Hivi vitu vitatu usipiviangalia vizuri, biashara yako itakuwa miongoni mwa biashara zinazopuuzwa sana sokoni.
Kwa nini? Kwa sababu vitu hivyo vitatu ndio hubeba ile hisia ambayo mteja anakuwa nayo anapofanya maamuzi ya kununua.
Biashara nyingi za wajasiriamali, utakuta haina taarifa muhimu, kiasi kwamba mteja anaona ananunu sumu😂😂
Niambie kwenye comment, unayazingatia kwa kiasi gani hayo mambo matatu kwenye biashara yako?
#letstalkbusiness #salestips #digitalmarketing #service